MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday, 3 April 2014

SERIKALI YAKAMATA MENO YA TEMBO SINGINDA

Mkuu wa Kitengo cha Hima Sheria Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, Robert Mande (wapili kulia) akimwonyesha Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu Bunduli iliyokamtwa pamoja na meno ya Tembo.
Mkuu wa Kitengo cha Hima Sheria Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro, Robert Mande (wapili kushoto) akimwonyesha Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu meno ya Tembo katika kituo cha Kikosi dhidi ya Ujangili (KDU) cha Kanda ya Kati, kilichopo Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida


Taarifa zinasema kuwa men ohayo na silaha vilikamatwa katika kituo cha Kikosi dhidi ya  Ujangili  (KDU) cha Kanda ya Kati,  kjilichopo Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida juzi, katika Vijiji vya Kiyombo Wilaya ya Sikonge Mkoani Tabora na Kijiji cha Chinangali Wiliayani Chamwino Mkoani Dodoma hivi karibuni.
 

Na Mwanaharakati.

No comments: