MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Tuesday, 22 April 2014

WADAU BINAFSI NA BUNGE, WACHANGIA UZINDUZI WA MBIO ZA MWENGE KAGERA

 Akizungumza na waandishi wa habari baada ya kutembelea uwanjani hapo, afisa tawala mkoa wa Kagera Bwana NASOR MNAMBILA pichani kulia, amesemakuwa kila kitu kinada vizuri kwani vitengo vyote viko katika hatua za mwisho kukamilisha kazi zake.

Wageni zaidi ya 700 wanarajiwa kuudhuria uzinduzi huo kutoka ndani na nje ya nchi, wakiwamo mabalozi, mawaziri, wabunge na wengineo.


Hatahivyo maandalizi yamekamilika kwa asilimia kubwa, ambapo pamoja na mambo mengine, michango inayotolewa na wadau kutoka sehemu mbalimbali nchini inaendelea kupokelewa.

Pamoja na mazoezi ya Alaiki kuendelea uwanjani Kaitaba, wakufunzi wameomba uwanja huo kufanyiwa marekebisho, kutonana na kujaa maji katika baadhi ya maeneo wakati wa mvua na kusababisha mazoezi hayo kutofanyika inavyotakiwa.
Na Mwanaharakati.

No comments: