
![]() |
Magari yaliyokuwa yamezuiliwa kwa mawe |
![]() |
Gari ya mizigo ikibeba maji taka kwenye Tanki |
![]() |
Haya ni maji taka katika eneo lisilostahili |
Afisa tarafa ya Rwamishenye aliyefika kwenye eneo la tukio kwa niaba ya mkurugenzi wa manispaa amesema ni kosa kisheria kumwaga maji taka eneo lisilo rasmi na hao wamiliki wa magari hayo ambayo ni kampuni RWABIZI na mtu binafsi asiyejulikana wataadhibiwa kwa mujibu wa sheria.
Hatahivyo amewasisitiza wananchi kuwa walinzi wa eneo hilo ili kudhibiti na kuhakikisha yeyote anayekiuka taratibu anakamatwa.
Wahusika waliokutwa na makosa, wamewaomba radhi wananchi kwa kuwalipa fidia ya shilingi laki moja kutokana na muda waliotumia kuzuia magari hayo tangu asubuhi.
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment