MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Friday, 9 May 2014

BOHARI YA DAWA; HALMASHAURI YA BUKOBA YAMZAWADIA MHIFADHI WA DAWA

Katikati ni Bwana Edward Bnadana akionesha cheti chake na hundi ya sh lakini tatu
Pamoja na mhifadhi huyo wa dawa halmashuri ya Bukoba, baadhi ya wananchi katika hospitali teule ya wilaya ya Izimbya, wanalalamika kukosa huduma hasa madawa kutokana na hospitali hiyo kutokuwa na dawa.

 Taarifa iliyotolewa na naibu waziri wa afya Dk Stephen Kebwe, mapema mwaka huu, ilisema kuwa hamashuri ya Bukoba, ni pili kwa utunzaji mzuri wa dawa kuwa haziibiwi na kuzagaa sana katika maduka binafis ya kuuzia dawa, akisema kuwa ya kwanza ni Karawe kwa utunzaji wa dawa za serikali mkoani Kagera.

Katika taarifa hiyo, Dk Kebwe alisema kuwa wilaya inayoongoza kwa wizi wa dawa za serikali ni Ngara, ambavyo alisisitiza mkuu wa mkoa pamoja na kamati yake ya ulinzi na usalama kuthibiti hali hiyo kabla taifa halijaingilia kati.
Naibu waziri Kebwe Stephen Kebwe.

Bohari ya dawa iliyozinduliwa Muleba, kwaajili ya mikoa ya Kagera na Geita

Dk Kebwe akizindua Bohari ya dawa wilayani Muleba mkoani Kagera.
Na Mwanaharakati.

No comments: