MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday, 19 May 2014

DIAMOND AENDELEA KUONGOZA KURA ZA BET KWA KUNDI LA WASANII WA FRIKA

Msanii wa kizazi kipya nchini Nasib Ramadhani AKA Platinum's, anaongoza katika upigaji kura za tuzo ya BET  2014, ambapo hadi leo amekuwa akiongoza kwenye kundi lake kwa 75.79% ya kura zote.
Anafuatiwa na Mafikizolo wa Afrika kusini wenye 8.34%, Davido wa Nigeria 5.15%, Tiwa Savage Nigeria 4.75%, Sarkodie Ghana 3.33% na Toofag wa Togo mwenye 2.63%
Na Mwanaharakati.

No comments: