MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Saturday, 24 May 2014

KIFO CHA MWANAHABARI NCHINI

Mpiga picha mkongwe wa Televisheni, Maximilian Ngube 'Max' amefariki dunia Jana, Ijumaa Mei 23, 2014, jijijini Dar es salaam. 
Habari zilizothibitishwa na ndugu wa karibu wa marehemu zimesema kuwa msiba uko nyumbani kwa marehemu Boko, jijini Dar na mipango ya mazishi inafanyika ambapo tarehe ya maziko itatangazwa baadae.

Marehemu amewahi kufanyia kazi vituo kadhaa vya televisheni nchini, vikiwemo vya Star TV na Mlimani TV ambako ndiko alikuwa hadi kifo kinamkuta. 
Na Mwanaharakati.

No comments: