MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Saturday, 10 May 2014

MAMA KANUMBA ALALAMIKIWA NA BABA KANUBA

“Huenda wana maslahi yao kuamua kulitumia jina la mwanangu, siwezi kuwazuia lakini watambue kuwa wanakosea sana kwa kufanya hivyo bila kunishirikisha mimi baba yake,” alisema baba Kanumba.
Mama Kanumba akihojiana na Mac Ngaiza muda mfupi baada ya kifo cha mwanae
Baba na mwana Kanumba enzi hizo

BABA wa marehemu Steven Kanumba, Charles Kanumba amemshutumu mzazi mwenziye, Flora Mtegoha, kuwa amekuwa na tabia endelevu ya kumtenga kwenye shughuli za mwanaye.

Alisema anamshangaa mama huyo kumtenga mara kwa mara katika ishu za marehemu mwanaye ambapo alitolea mfano wa maadhimisho ya miaka miwili ya kifo cha mwanaye (Kanumba Day) yaliyofanyika hivi karibuni.
 Na Mwanaharakati.

No comments: