Alisema walishirikiana na baraza la mitihani la taifa NECTA kufanya uhakiki ambapo amesisitiza kuwa uchunguzi utaendelea ili hatua za kisheria zichukuliwe, pamoja na kuwa wamefukuzwa kwenye mafunzo.Kutokana na tabia hiyo, amesema kuwa wataendelea kufanya uchunguzi hata kwa wengine ili kujua kama wapo ambao tayari wameshajipenyeza lakini pia kuwaomba wenye taarifa za wengine kushirikiana na jeshi la polisi.
Kikosi cha wanafunzi wa jeshi hilo kilikuwa 3415 walioanza mafunzo tangu Desemba mwaka jana.
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment