MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Sunday, 11 May 2014

NEWS ALERT!!! TBC 1 YAKAMILISHA; WASHINDI WA CLUB RAHA LEO SHOO HAWA HAPA

Mshindi wa Rumba ni namba 12 Kakuru Kasimu
                      Salsa ni namba 09 Ashrafu Abdalah
                      Taarabu ni namba 13 Zurfa Omary
                      Pop ni namba 33 Deus Boniphace
                      Twist namba 22 Nasibu Oza

Ni mashindano yaliyoandaliwa kwa ushirika wa TBC  na kusimamaiwa na majaji wane, akiwamo Ras Innocent Nganyagwa, Mark Manji, Edina Leo na George Mbata.

Shilingi milio 50 zilikuwa zikishindaniwa tangu kuanza kwa harakati za kutafuta washindani mwishoni mwa mwaka jana, ambapo mitindo mitano imeshindaniwa na kila mshindi amenyakua milioni 10, baada ya kukabidhiwa hudi zao na mkurugenzi mtendaji wa TBC Clement Mshana.

Washereheshaji walikuwa ni Manju wa muziki Maoud Masoud na Mariam Migomba.

Na Mwanaharakati.

No comments: