MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday 26 May 2014

NEWS ALERT!!! ASKOFU DESDERIUS RWOMA AONGOZA MAZISHI YA MONSINYORI BAMANYISA

Baba Askofu jimbo Katoliki la Bukoba Deziderius Rwoma.
Monsinyori Justinian Bamanyisa, amezikwa katika makaburi ya ya seminari ya Rubya, ambapo Askofu Rwoma amesema kuwa alikuwa na mfano wa pekee wa kuwasaidia watu wote ususani wahitaji , walemavu, na wazee ambapo amewahimiza wananchi kuiga mfano wake.

Monsinyori Bamanyisa, amefariki juzi akiwa na umri wa miaka 88, ambapo ametumikia upadri kwa miaka 59 na kushika nyadhifa mbalimbali, pamoja na kuwa Dereva wa Cardinal Laurian Rugambwa. Mungu ailaze roho yake mahala panapostahili.

Na Mwanaharakati.

No comments: