Ni baada ya Machinga kuendelea kutumia maeneo yaliyozuiliwa katika baadhi ya maeneo ya jiji la Mwanza. 
Taarifa ya awali inasema kuwa Bomu ya machozi yameripuliwa kuwatawanya wafanyabiashara hao, huku jeshi likiingilia kati baada ya vurugu kuwa kubwa na kusababisha majibizano ya Machinga kuwarushia mawe polisi, ilhali polisi wakifyatua mabomu ya macho.
Tutakuletea undani lakini tazama picha zikionesha hali ilivyokuwa asubuhi ya leo.
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment