MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Wednesday, 11 June 2014

WIZARA YA KAZI MKOANI PWANI YAENDELEA KUKUMBANA NA CHANGAMOTO ZA AJIRA KWA WATOTO.

Ni kijana mdogo ambaye jina lake halikufahamika maramoja baada ya kuhojiwa na mmoja wa maofisa kazi mkoani Pwani akagoma kujielezaakifanya ukonda katika daladala namba
T306 BPP TOYOTA HIACE.
 
 Pamoja na juhudi za wizara hiyo mkoani humo, ajira hizo zaendelea kuwapo katika mkoa huo, ambapo wafanyakazi wa wizara hiyo wanakiri kupokea kesi nyingi zinazohusisha watoto wakiwa wameacha shule na kujitafutia ajira lakini wengine wakiachishwa na kupelekwa kufanya kazi na wazazi wao.

Na Mwanaharakati.

No comments: