MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday, 5 June 2014

NEWS ALERT!!!KUMEJITOKEZA UBAKAJI KWA WATOTO WA UMRI KATI YA 8-12 WILAYANI BARIADI MKOANI SIMIYU KWA 2014 PEKEE.

Mwandishi habari Felister Kulwijira

 Taarifa inayochunguzwa na mwandishi wa habari FELISTER KULWIJIRA, inasema kuwa waganga wa kienyeji na viongozi wa kimila, wanasikilizwa sana na kusababisha athari kubwa kwa kufanya utatuzi wao huku jamii ikiendelea kudidimia kwani anayebakwa anashindwa kupata maendeleo.


Madhara yanayojitokeza katika jamii ni pamoja na magonjwa ya kuambukiza hasa ya zinaa, watoto kuishi kwa hofu, ukosefu wa elimu kwa watoto, lakini pia haki za binadamu kuvunjwa kwa wanaobakwa, pamoja na rushwa kujitokeza katika familia husika.

Kutokana na ubakaji huo unaoendelea wilayani humo, jamii imetakiwa kuwafichua na kuwafikisha mahakamani watuhumiwa wa ubakaji, ili wachukuliwe hatua za kisheria na kukemea wengine wasifanye hivyo.

Na Mwanaharakati.

No comments: