MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday, 5 June 2014

MWIGIZAJI BONGO MOVIE AHOFIA MAISHA YAKE BAAADA YA KUJIKUTA AMECHANJWA CHALE MWILINI.




Akizungumzia tukio hilo, Amanda juu pichani, alisema lilitokea siku ambayo mwongozaji  mkongwe nchini George Tyson alipofariki dunia (Mei 30) ambapo hakujua ni nani aliyemchanja usiku kwani alishtuka asubuhi na kuona akivuja damu zikiashiria kuchanjwa kwa wembe.

“Nilijikuta nimechanjwa lakini Mungu ni mwema, waliofanya hivyo kama walikuwa na nia mbaya, wameshindwa kwani nilikwenda kuombewa kanisani halitanipata lolote,” alisema Amanda.

Alisema marehemu Recho aliwahi kuchanjwa, hivyo inatisha kuona name linanitokea wakati huu ambao tunakumbwa na vifo vya wasanii wenzetu.
  Na Mwanaharakati.

No comments: