WATANGAZAJI na wanahabari wa kituo
cha radio cha Ebonby Fm, cha Iringa, kituo kinachorusha matangazo yake katika
mikoa zaidi ya sita nchini, wamesherekea kutimiza miaka 8 ya uwepo wa redio
hiyo hewani.
Hafla hiyo iliyofanyika katika Club
ya La- Part ukumbi wa burudani wa kisasa uliopo eneo la Gangilonga,
manispaa ya mji wa Iringa. 
Picha za Iringa ni kwa hisani ya Oliver Motto |
No comments:
Post a Comment