MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday, 21 August 2014

BENKI YA BIASHARA MASHARIKI NA KUSINI MWA AFRIKA YATOA SEMINA KWA WAFANYABIASHARA JIJINI DAR ES SALAAM


Naibu Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba akifungua semina ya wafanyabiashara iliyoandaliwa na Benki ya Maendeleo ya Biashara Mashariki na Kusinimwa Afrika (PTA) leojijini Dar es salaam.

Rais na Mtendaji Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Biashara Mashariki na Kusini mwa Afrika (PTA) Admassu Tadesse akitoa maelezo ya jumla juu ya utendaji kazi benki hiyo leo jijini Dar es salaam wakati wa semina ya wafanyabiashara na benki hiyo.


Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile akifunga semina ya wafanyabiashara iliyoandaliwa na Benkiya Maendeleo ya Biashara Mashariki na Kusinimwa Afrika (PTA) leo jijini Dar es salaam.

Amesistiza kuwa Wafanyabishara nchini watumie fursa ya semina hiyo iliwaweze kuandaami kakati yakibiashara ya muda mrefu, wakati namuda mfupi waweze kujiletea maendeleo yao nanchi kwaujumla.

Mkurugenziwa Double TreeAyaz Ali Jivraj akiuliza swali juu ya namna wafanyabiashara wanavyoweza kunufaika na huduma za kibenki kupitia Benkiya PTA wakati wa semina yawafanyabiashara jijini Dar es salaam.



Na Mwanaharakati.

No comments: