![]() |
| Bw. SIRAJI KISAKA |
Bw Kisaka ameongeza kuwa wateja wamekuwa wakilalamika kuwa hawapatiwi huduma, kutokana na kujichanganya katika kufuata huduma katika maeneo teule kupatiwa huduma stahiki.
![]() |
| Mkurugenzi mtendaji Kasibante fm redio Bw Richad Leo, akimtambulisha afisa Kisaka kwa wafanyakazi wa redio hiyo. |
![]() |
| Baadhi ya watangazaji wa redio Kasibante wakipitia fomu za matibabu za NSSF. |
![]() |
| Mhariri wa habari Kasibante Bw Meddy Mulisa. |
![]() |
| Tafawa Said Kayera, mtangazaji wa kipindi cha michezo redio Kasibante Bukoba, akipokea fomu ya matibabu ya NSSF. |
Na Mwanaharakati.






No comments:
Post a Comment