Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda akipokea tuzo ya Kilimo Kwanza kutoka kwa Yusuf Sinare
Yusuf ambayo imetolea na Baraza la Taifa la Kueneleza Wakulima
(ACT) kwa niaba ya wakulima, wafugaji na wavuvi nchini katika monyesho ya
wakulima Nanenane yaliyofanyika kikanda na kufungwa na Waziri Mkuu jijini
Mwanza August 8, 2014. |
No comments:
Post a Comment