MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Tuesday, 12 August 2014

NEWS ALERT!!! MAPITIO YA HABARI ZA UCHUNGUZI YAFANYWA NA WATAALAMU WA HABARI WAKIWAMO WAHARIRI NA WAANDISHI WA HABARI KOTE NCHINI

 Katika mapitio hayo, waandishi wanawasilisha habari walizoandika na kutangaza katika vyombo vyao vya habari, ambapo wahariri na magwiji wanapitia kwa pamoja habari hizo na kuwapa mawazo mapya ili kuboresha kazi hizo.
Bi Razia Mwawanga ambaye mkuu wa mafunzo wa mfuko wa waandishi wa habari nchini, TMF akifafanua jambo.

 Picha juu na chini ni waandishi mbalimbali na wahariri wakifuatilia kwa umakini utaratibu wa kupitia habari hizo.
 
Tanzania media Fund hutoa ruzuku kwa waandishi habari wenye mawazo na tetesi za uchunguzi ili wazifanyie kazi hasa vijijini, na baada ya kuhakikiwa ubora wake huzirusha kupitia vyombo vyao vya habari.

Mkutano unaondelea Dodoma, utakamilika baada ya siku mbili kwa kuwashirikisha wahariri, na baadhi ya waandishi habari kutoka nchini kote.
Na Mwanaharakati.

No comments: