
Askofu msaidizi wa jimbo katoliki la Bukoba, Baba Askofu Method Kilaini, amesema kuwa kupeleka watoto nje ya nchi ni aibu, kwani inatokana na kukosa shule na vyuo bora mkoani humo, kwani wawekezaji wengi wamekuwa na nia ya kujipatia pesa na kuoa elimu isiyo na kiwango cha kuwasaidia wanafunzi, hivyo wazazi wanaamua kupeleka watoto nje ya nchi na kubakiza jina la NSHOMILE, kwa maana ya kujua kusoma na kuandika pekee.
![]() |
Mmiliki wa chuo cha ERA wa kwanza kushoto na mgeni rasmi katika uzinduzi huo Balozi Kahamis Kagasheki MB mwenye tai. |
![]() |
Picha juu na chini, ni wanafunzi wanaosoma chuoni ERA, wavulana kwa wasichana. |
Chuo cha ualimu ERA, kinatoa mafunzo kwa ngazi ya cheti na dploma, kipo Bukoba mjini katika kata ya Kitendaguro kilomita 5 kutoka katikati ya mji.
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment