Mwanamke huyo jina lake halikufahamika mara moja
amepoteza maisha baada ya kukanyagwa na lori lenye namba za usajili T277 CLY
leo katika maeneo ya Mbezi Tanki Bovu, jijini Dar es Salaam.
![]() |
Mwili wa mwanamke mmoja ambaye hakufahamika jina lake baada ya kukanyagwa na lori na kupoteza maisha. |
No comments:
Post a Comment