MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday, 18 September 2014

BREAKING NEWS!!! BARABARA ZAFUNGWA MAANDAMANO CHADEMA

Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba baadhi ya barabara mkoani Dodoma zimefungwa ili kuzuia maandamano yaliyopangwa kufanywa na chadema mkoani humo.


Barabara  zizofungwa ni barabara kuu kutokea Stend kuelekea Morogoro, na barabara ya Dodoma Inn kutokea bungeni zimefungwa huku bado viongozi wa chama hicho wanasisitiza kuendelea kuandamana mkoani humo.

Na Mwanaharakati.

No comments: