MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday 29 September 2014

KINACHOJIRI BUNGE LA KATIBA.

Mwenyekiti wa kamati uya uandishi ya Bunge hilo maalumu Mh ANDREW CHENGE, amesema kuwa marekebisho ya jalada la marekebisho ya rasimu ya katiba mpya hivyo anawakilisha kwa wajumbe tayari kuanza utaratibu wa upigaji kura.
Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi ya Bunge Maalum la Katiba, Andrew Chenge  akisoma marekebisho katika jarada la rasimu, bungeni mjini Dodoma,  Septemba 27, 2014.

Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Samuel Sitta akiteta na Mjumbe wa Bunge hilo, Kingunge Ngombale Mwiru, bungeni mjini Dodoma Septemba .

Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samia Suluhu akiongoza kikao cha Bunge hilo Septemba.

Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema  (kulia) na Hamad  Rashid (kushoto) wakiteta bungeni mjini Dodoma.

Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, John Momose Cheyo akichangia  bungeni mjini Dodoma

Na Mwanaharakati.

No comments: