MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Wednesday, 10 September 2014

MAAJABU MAKABURINI BUTIAMA; BAADA YA MAREHEMU WA AJALI YA BASI KUFUKULIWA



Taarifa inasema kuwa ndugu wa marehemu Said Francis na Issa Yusuph walifika katika eneo la makaburi, na kukuta mwili wa marehemu umefukuliwa na kuachwa juu ya kaburi.

Baada ya kufanyika uchunguzi na madaktari katika mwili huo, wamesema kuwa hakuna kiungo kilichoondolewa, na kuwafanya wananchi kuwa na hisia za imani za kishirikina.

Imam wa msgid Twaqua Musoma Suleiman Khamis akatoa taarifa kwa mashuuda kuwa ni la kishirikina inabidi walaaniwe kwasababu adhabu yao mungu amewaandalia kwani wamekata ubao alipokuwa amehifadhiwa marehemu(MWANANDANI).

Naye mchungaji Dk Mozes Zephania kutoka kanisa la Evangelist assemblies of God amesema binadamu inabidi kumrudia Mungu ili kuacha matukio kama hayo.
 

Na Mwanaharakati.

No comments: