Tume ya vyuo vikuu TCU
imetangaza kwamba Wanafunzi wapatao elfu 12 wanaotaka kujiunga na elimu ya vyuo
vikuu Tanzania wamekosa nafasi za kujiunga na vyuo hivyo kwa sababu ya
walichagua sehemu zenye ushindani mkubwa na wamekosa nafasi sababu alama zao
zilikua ndogo.
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment