MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Sunday, 14 September 2014

PICHA ZA AJALI ILIYOUA KARIBU NA MAKAO MAKUU YA JKT DAR ES SALAAM.

 


Ajali mbaya imetokea jana alfajiri katikati ya madaraja mawili ya chuma yaliyoko katika eneo la Kawe pembeni ya makao makuu ya JKT Mlalakuwa, Dar es Salaam.

Dereva wa gari hilo amefariki papo hapo na kuacha vipande vya ubongo vikining'inia katika vyuma vya daraja hilo baada ya gari hilo aina ya Toyota Celica GTR lenye namba za usajili T220ABL kugonga na kisha kuingia kwenye ukingo wa daraja hilo na kutumbukia kwenye mto.
 

Na Mwanaharakati.

No comments: