MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Monday, 20 October 2014

MAAJABU YA MTI ULIOANGUKA NA KUNYANYUKA KWA MIUJIZA BAADA YA MIAKA MITATU, WANANCHI WAUMALIZA KWA KUCHUKUA VIPANDE





Tukio hilo limetokea Oktoba 17,mwaka huu,katika kijiji cha Mfuto kata ya Ufuluma katika wilaya ya Uyuwi mkoani Tabora.

Inaelezwa kuwa mti huo wenye kipenyo cha futi 2 uliinuka na kuwa kama zamani baada ya kutokea upepo mkali katika kijiji hicho.
Wananchi walikusanyika kila mmoja akitaka kuchukua angalau gome la mti huo kwa ajili ya dawa ama kumbukumbu , na haya ndio maajabu ya Tanzania.

Na Mwanaharakati.

No comments: