MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Sunday, 14 December 2014

TAARIFA ZA KUKAMATWA NAIBU WAZIRI MASELE AKIGAWA FEDHA JANA USIKU




                    Pichani niNyalaka zinazodaiwa kudondoshwa na mh.huyo.
Vijana walikuwa wakifuatilia nyendo zake pasipo yeye kujua na ndipo alipoanza kugawa fedha ghafla vijana wakamkamata, aliapoanza kupewa kichapo  polisi walimuokoa kwa kupiga risasi za moto na mabomu ya machozi.

Taarifa za uhakika zinaeleza alidondosha nyaraka mbali mbali ktk eneo la tukio, baada ya polisi kumweka kwenye DEFENDER.
 



Na Mwanaharakati.

No comments: