
Kutoka Ulanga mkoaniTabora, wananchi hawajapiga kura kwasababu ya vifaa kuchelewa ambapo wananchi katika vituo386 bado wamesubiri hadi sasa saa 7 mchana.
| |
| Kituo cha Kibeta Akiumura,hapa wapo makada wa vyama mbalimbali wanaopokea kilaanayekuja kwa kisingizokuwa hawajui kuandika, nawanawapelekakuwaandikia, |
![]() |
| Kituo hikiniKashaiKashenye ambapo ni katikakiwanja chakanisa wakati ibaada zikiendelea, wapiga kura wakikumbana na kelele za kwaya. |
|
Eneo la Shariff Shamba, Ilala jijini Dar uchaguzi
umeahirishwa mpaka Jumapili ijayo baada ya vifaa kutopatikana ndani ya muda.
Vyama vyote vinavyoshiriki vimeafikiana
|
Kutoka Songea Mjini, kata ya Misufini hadi sasa kura
hazijaanza kupigwa kwa sababu fomu za kupiga kura nafasi ya uenyekiti wa mtaa
zimechanganywa, kwani kwenye nembo ya CCM jina lililoandikwa ni la mgombea wa
CHADEMA kama inavyoonyesha kwenye picha.
Na Mwanaharakati.








No comments:
Post a Comment