Nicolaus Mac (None Association Movement) KWA MATANGAZO YA REDIO NA TV WASILIANA NASI KWA +255767814844- nicolausngaiza@gmail.com.
Sunday, 14 December 2014
UCHAGUZI BUKOBA; WATANO WASHIKILIWA, TAZAMA MWIGULU ALIVYOFUNGA KAMPEINI.
Kwaupande mwingine UKAWA walihitimisha kampeini zao katika kata hiyo Kashai kwa kuwataka watanzania kuwapa nafasi ya kujaribu bahati ya kuleta mabadiliko kuwa wanaweza.
Polisi inawashikilia watu watano ambao hawakutajwa majina kwasababu za kiusalama kuwa walikuwa na njama za kuvuruga uchaguzi katika manispaa ya Bukoba na kwingineko, taarifa itatolewa baadaye, kwamujibu wa RPC KAGERA Henry Mwaibambe.
Na Mwanaharakati.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





No comments:
Post a Comment