MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Friday, 19 December 2014

WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO 2015 SOMA HAPA



Naibu Waziri wa Elimu, Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI, Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na wanahabari


Idadi hiyo ni sawa an asilimia 97 ya wanafunzi wote waliofanya mtihani huo.
Taarifa ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) kwa waandishi wa habari leo imesema ufaulu huo umeongezeka kwa asilimia 1.08 ikilinganishwa na mwaka jana.

Hata hivyo, jumla ya wanafunzi 12, 432 waliofaulu, hawajapata nafasi ya kuchaguliwa kuendelea na masomo ay sekondari kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo uungufu wa majengi, hali inayowalazimisha kusubiri chaguo la pili litakalofanyika mapema mwakani.

Jumla ya wanafunzi 808,085 walisajiliwa kufanya mtihani wa taifa mwaka 2014 lakini ni wanafunzi 792,122 tu ndio waliofanya  mtihani, hiyo ikiwa ni asilimia 98.02% ya wanafunzi wote waliosajiliwa.

Taarifa ya Tamisemi inaongeza kuwa wavulana wanaongoza kwa kuchagaliwa zaidi ya wasichana ambapo jumla ya wavulana 219,964 wamechaguliwa kujiunga na kidato cha kwanza hiyo ikiwa ni sawa na asilimia 97.28 ya wanafunzi wote waliochaguliwa huku wasichana wakifikia 218,996 ambayo ni sawa asilimia 97.1 ya wanafunzi waliochaguliwa.
 

Na Mwanaharakati.

No comments: