Wajumbe wa Bodi ya TANESCO wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi, Dkt.
Mighanda J. Manyahi (wa sita kutoka kushoto) wakimsikiliza Kaimu Katibu
Mkuu Wizara ya Nishati na Madini Eng.Ngosi Mwihava (wa tano kulia) mara
baada ya Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (katikati)
kuizindua Bodi hiyo jijini Dar es Salaam.Wajumbe wengine wa Bodi hiyo
(kutoka kushoto) ni Dkt. Nyamajeje C. Weggoro, Eng. Boniface C. Muhegi,
Dkt. Mutesigwa I. Maingu, Bw. Shaaban S. Kayungilo, na Dkt. Haji H.
Semboja. Wajumbe wengine (kutoka kulia) ni Bibi. Kissa Vivian Kilindu,
Bw. Felix G. Kibodya na Eng. Juma F. Mkobya. |
No comments:
Post a Comment