MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Saturday, 24 January 2015

BREAKING NEWS!!! WAWILI WAUAWA KATIKA TUKIOLA UPORAJI FEDHA

Ni baada ya wanaosadikiwa kuwa majambazi kuvamia duka moja Kariakoo jijini Dar es salaam, ambapo polisi wamekamata pikipiki na vifaa vingine walivyokuwa navyo watu hao.

Polisi imeondoka na miili ya waliouwawa baada ya mapambano ya risasi baada ya kutaka kupora pesa katika duka la Mpesa/Tigo Pesa/Airtel Money mtaa wa Mkunguni jijini Dar es salaam usiku huu.
Na Mwanaharakati.

No comments: