MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Saturday, 24 January 2015

WAWILI WAUAWA KWA MAZINGIRIA TOFAUTO RUVUMA





Watu wawili wamefariki Dunia na wawili kujeruhiwa katika matukio mawili tofauti ambapo katika tukio la kwanza Maria Haule mkazi wa kijiji cha Muhukuru Songea vijijini mkoani Ruvuma ameuawa kwa kukatwa na shoka kichwani na mume wake Salvatory Ndimbo na mwili wake kuutupa mto Mkurumo .

Katika tukio jingine kamanda Mihayo amesema kuwa mwendesha bodaboda aliyetambulika kama Haridi Alifa amefariki dunia na watu wawili kujeruhiwa baada ya kugongwa na gari lenye namba T934BTE,Toyota.
 


Na Mwanaharakati.

No comments: