MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Friday 30 January 2015

MSAADA WA HARAKA KWA WAATHIRIKA WA DHORUBA KISIWANI GOZIBA ZIWA VICTORIA



Ni baada ya dhoruba iliyowakumba jana na kusababisha kifo cha mtu mmoja huku wengine zaidi ya 30 wakifikishwa usiku katika hospitali ya mkoa kwa matibabu baada ya kujeruhiwa na mabati ya nyumba zilizoezuka.

Taarifa ya mtendaji wa kata Goziba Bw Nason Bahemuka, inasema kuwa mtumbwi uliosadikiwa kuzama haukuzama japo ulipoteza mawasiliano baada ya kupotea njia na wataitolea taarifa baadaye.

Mkuu wa mkoa wa Kagera Bw John Mongera, anataraji kufika kisiwani humo wakati wowote kutoka sasa, kutokana na umbali uliopo kuwa usafiri wa fiber boat spa 40 unatumika muda wa saa6 kutokea Muleba mjini Muleba kufika Goziba kisiwani.
 

Na Mwanaharakati.

No comments: