![]() |
Katibu wa Parokia Bukoba bwana Miwaniakisoma neno |
Ujumbe mkuu wa siku hiyo jana ni tuombe Amani kwa
ajili ya Taifa letu. Hatahivyo Askofu Rwoma aliwakumbusha waamini kuwa Yohana Maria Muzeeyi, Shahidi ndiye Mtakatifu
Mtanzania wa kwanza kutangazwa rasmi mjini Roma Italy na Baba mtakatifu Paulo
VI tarehe 18th October 1964 kati ya mashahidi 21 waliotangazwa wakati huo.
PICHA KWA HISANI YA WILLIAM RUTTA-BUKOBATOURS
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment