![]() |
Pichani ni gari hilo dogo aina ya Saloon
likiwa limeharibika vibaya baada ya kugonga watu wawili na kufa papo hapo eneo
la Lemela mjini Ngara.
|
![]() |
Baiskeli aliyokuwa ikitumiwa na Marehemu
hao ikiwa imeharibika vibaya
|
Watu wawili wamekufa papo hapo baada ya
kugongwa na gari dogo lenye namba za usajili T 346 DAA katika eneo la Lemela
,katika barabara ya Kabanga-Ngara wilayani Ngara mkoani Kagera.
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment