MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Saturday 28 February 2015

KIFO CHA CAPTAIN JOHN KOMBA

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye amethibitisha kutokea kwa kifo hicho, hata hivyo hakuwa tayari kuelezea kwa undani kwa madai kuwa taarifa hizo zimemfikia sasa hivi.

Mmoja wa watoto wa Komba ambaye alijitambulisha kwa jina la Herman amethibitisha kutokea kwa msiba huo na akasema, msiba wa baba yake upo nyumbani kwake Mbezi Tangi Bovu, Dar.

Habari zinasema asubuhi ya leo Komba alikwenda kwenye shughuli zake za kikazi kama kawaida lakini
Taarifa zaidi tutakuletea kuhusu kifo hicho cha mbunge wa Mbinga ambacho kimestua watanzania wengi.
Na Mwanaharakati.

No comments: