MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday, 12 February 2015

KUENDELEA KWA MATUKIO YA MOTO DAR KWA TISHIA USALAMA

Ni siku chache ameuawa watu sita kwa wakati mmoja katika mtaa wa KIPUNGUNI, jengo moja la Ghorofa katika nyumba za NHC na sasa yameendelea kushika kasi jijini Dar es salaam ambapo jana majira ya saa mbili usiku kiwanda kinachochapisha magazeti cha JAMANA PRINTERS GROUP kilichopo Barabara ya Pugu kimeunga moto na kuteketeza nusu ya bidhaa za kiwanda hicho baada ya kikosi cha zima moto kufanikiwa kufika kwa wakati eneo la tukio na kuudhibiti moto huo.
Na Mwanaharakati.

No comments: