MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Sunday, 15 February 2015

MAPAMBANO CCM NA CHADEMA MANISPAA YA BUKOBA

NI KATI YA KATIBU MWENEZI CCM TAIFA NAPE NNAUYE NA MAKAMU MWENYEKITI BAVICHA TAIFA PATRICK OLE SOSOPI
Nape asema serikali ya mkoa ikae tayari kumpokea Kinana akimaanisha kuwa wameshamaliza matatizo ya wananchi la sivyo CCM haitakubali.








 Naibu katibu mkuu baraza la vijana CHADEMA taifa Getrude Ndibalema amesema ni wakati wa vijana kufanya mabadiliko.

Na Mwanaharakati.

No comments: