Nicolaus Mac (None Association Movement) KWA MATANGAZO YA REDIO NA TV WASILIANA NASI KWA +255767814844- nicolausngaiza@gmail.com.
Monday, 23 February 2015
MSAADA KWA WATOTO YATIMA, MAUAJI YA ALBINO YALANIWA
Tamasha hilo Litafanyika jijini Dar es salaam Aprili 7 2015 na kushirikisha waimbaji mbalimbali wa kimataifa na waimbaji wa ndani, Katika Tamasha hilo pia kutakuwa na michezo mbalimbali itakayochezwa ikiwa ni pamoja na kukabidhi zawadi na vikombe kwa washiriki wa Tamasha hilo, Makabidhiano hayo yamefanyika kwenye ofisi za kampuni hiyo zilizoko Kinondoni jijini Dar es salaam.
Alex Msama amelaani mauaji ya Albino na kuiomba serikali kuweka mkazo katika kushughulikia wahalifu wanaofanya ukatili huu na kuua watu wenye ulemavu wa ngozi (Albino), ili kukomesha mauaji hayo hapa nchini ambayo yanalitia aibu taifa(PICHA NA FULLSHANGWE).
Na Mwanaharakati.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment