MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Sunday, 24 May 2015

WAANDISHI KAGERA, WASHIRIKI NA MBUNGE KUFARIJI WATOTO WANAOISHI VITUO VYA YATIMA.


. Watembelea vituo na kutoa zawadi,
. Washiriki kutafakari siku ya uhuru wa habari,
. Mbunge Kagasheki awaomba kuelimisha juu ya kiongozi bora.

Waandishi hao kutoka wilaya zote za mkoa wa Kagera, wameazimisha siku ya uhuru wa vyombo vya habari duniani, ambayo ufanyika may 3 kila mwaka, kwakutembelea vituo vya Uvyacho na Nusuru yatima, kwa kutoa zawadi zenye thamani y ash laki 6.

 





Katika kukamilisha siku hiyo, mbunge wa jimbo la Bukoba mjini balozi Khamis Kagasheki, ambaye amekuwa akishiriki nao kila mwaka, ameungana nao katika chakula cha jioni, na kuwapongeza kwa hatua hiyo, huku akiwaomba kufikisha ujumbe kwa tume, kuhusu kusuasua kwa uandikishaji kupitia BVR.

Awali Mwenyekiti wa chama cha waandishi wa habari mkoani kagera John Rwekanika amewataka vyombo vya habari na wanahabari kuwa na mshikamano hasa kipindi hiki ambapo taifa lipo katika maandalizi ya uchaguzi mkuu.








Na Mwanaharakati.

No comments: