MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Wednesday, 22 July 2015

HII NDIYO AJALI YA BUS DODOMA WATU 20 WAFARIKI

Ni katika ajali iliyohusisha bus LA SIMIYU EXPRESS iliyokuwa ikitokea Mwanza kwenda Dar es salaam, ambayo imepasuka tairi na kupinduka na watu 20 kufariki papo hapo huku wengine40 wakijeruhiwa.

Taarifa za awali zinasema kuwa bado baadhi ya miili ya marehemu imenasa kwenye gari hilo kwani imeharibika vibaya.

Endelea kufuatilia hapa
Na Mwanaharakati.

No comments: