Akihitimisha Bunge la kumi, Mkutano wa 20, jana mjini
Dodoma, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, alisema mgawanyo huo umetokana na
Rais Jakaya Kikwete, kuridhia kugawanywa kwa maeneo hayo mapya ya
utawala.
Alisema lengo la mgawanyo huo ni kusaidia kusogeza utawala
na usimamizimwa shughuoi za maendeleo karibu na watu, na kwmaba zipo
ambayomyapo chini ya mamlaka ya Rais na waziri mwneye mamlaka na
serikali za mitaa.
Pinda alizitaja wilaya mpya kuwa ni Tanganyika, Ubungo, Kigamboni, Sogwe, Kibiti na Malinyi
Alizitaja Halmashauri mpya kuwa ni Buchosa, Malinyi,
Madaba, Manyoni, Mpimbwe, Msimbo, Mlele, Buhigwe, Kakonko, Uvinza,
Kyerwa, Chemba, Mbogwe, Nyang'wale, Butiama, Momba, Nyasa, Bushetu,
Busega, Itilima, Ikungi, Mkalama, Msalala, Kaliua na Bumbuli.
Pinda alitaja Miji na Manispaa kuwa ni Chalinze, Ifakara,
Nanyamba, Newala, Kondoa, Mafinga, Mbulu, Bunda, Mbinga, Tunduma,
Handeni, Nzega, Kasulu, Geita, Masasi, Ilemela na Kahama.
Pia kuna tarafa moja ikiwa wilaya ya Newala ambayo ni
mchemwa, nyingine nne zipo wilaya ya Tandahimba, Mchichira, Mwihambwe,
Mabamba na Mangombiya.
Alisema serikali itaweka mfumo imara na usimamizi madhubuti
ikiwamo, na maafisa masuhuru wanashauri kubana matumizi hasa katika
ununuzi wa umma, kudhibiti uendeshaji wa semina zisizo za tija, ununuzi
wa magari, gharama za kutaufa, msimu, umeme na maji.
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment