MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Thursday 27 August 2015

BREAKING NEWS; NAFASI ZA KAZI WAHITIMU FORM IV, SIX NA JKT KATIKA JESHI LA POLISI MWISHO NI MWEZI HUU

Jeshi la polisi Tanzania linawajulisha kwamba litaendesha mafunzo ya awali ya Jeshi la Polisi kwa miezi tisa katika shule ya Polisi Tanzania “Moshi” kuanzia taerehe 29/08/2015.

Mafunzo hayo yatahusisha wahitimu wa vyuo vikuu, kidato cha sita kidatocha nne wote wa mwaka 2014. Aidha wahitimu wa Jeshi la kujenga Taifa wa mwaka 2015 watahusika pia.
BOFYA KUSOMA MAJINA YOTE HAPA
Na Mwanaharakati.

No comments: