MAC PRODUCTION STUDIO'S

MAC PRODUCTION STUDIO'S
KWA MATANGAZO YA BIASHARA REDIONI( 0767-814844)

Wednesday 26 August 2015

HUU NDIYO UZINDUZI NA UTAMBULISHO WAGOMBEA UKAWA MANISPAA BUKOBA


Add Madiwani wanaogombea kata 14 na viti maalumu wakitambulishwa na mh. Lwakatare mbele ya mkutano wa hadhara.
Ni katika uwanja wa Uhuru (Mayunga) manispaa ya Bukoba, ambapo mgombea ubunge kupitia CHADEMA, ameongoza wagombea wenzake 14 ambao wanagombea ngazi ya udiwani. 
Mgombea ubunge wa CHADEMA Wilfred Lwakatare, ametangaza ILANI kuwa wana mipango ya kuleta maendeleo, hivyo wananchi wawape nafasi ya kuchukua uongozi.

Amesisitiza kuwa suala la mikataba ambayo imekuwa ikifanyika kwa siri yeye ataisimamia ili ijulikane kwa jamii.
Add Mgombea udiwani kupitia CHADEMA wilayani Misenyi Valerian Lugarabamu akisalimia umati baada ya kukaribishwa atoe salamu.
Ni mkutano wa kwanza wa katika UKAWA manispaa ya Bukoba, ambapo mikutano mingine ya mchakato wao utaendelea kuiona kupitia mtandao huu.
Na Mwanaharakati.

No comments: