

Baadhi ya wajumbe wamehoji kwanini umehairishwa na alitaka kuzungumza nini, wakajibiwa na ,Magdalena Sakaya mbunge kupitia chama hicho ambaye amesema kuwa kuna wazee wametaka kwanza kujua kauli ya Lipumba kwa wanahabari ndipi aendelee, hali iliyomfanya mwenyekiti huyo CUF Profesa Ibrahim Lipumba kuahirisha hadi siku nyingine.
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment