Ni Anatory Amani, ambaye amejadiliwa kupitia vikao mbalimbali na kubainika kukigawa CCM kutokana na kusababisha migogoro lkn pia kutanya mambo kinyume na ilani ya chama hicho baada na kukiuka taratibu za mikutano ya kutia nia kugombea nafasi ya ubunge na udiwani kwani alisikika akitoa kauli zilizokinyume na chama hicho.
Mwingine ni Chief Kalumuna ambaye ameomba kugombea udiwani kata Kahororo na amejadiliwa na CCM na kubainika na makosa mbalimbali likiwemo LA kuwapeleka mahakamani madiwani wenzake na kukwamisha ilani ya CCM kutekelezeka.
Tutakupa zaidi kupitia hapa.
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment