Kwa mujibu wa ratibaya chama hicho, vikao vya mijadala ya watia nia ngazi mbalimbali ni kama ifuatavyo:- Leo tarehe 8 -9 ni sekretariet ya halmashauri kuu taiga inayoweka mikakati na kupitia vikao vya mwongozo wa kujadili watia nia, tarehe 10- 11 itakaa kamati kupokea na kujadili taarifa kutoka majimbo yote, na tarehe 12- 13 halmashauri kuu taifa ambayo ndiyo itachuja na kupitisha wagombea wakupeperusha bendera kupitia chama hicho.
Hatahivyo katibu mwenezi Nape Nnauye amekemea jinsi malalamiko yanavyotolewa.
Tutaendelea kukuletea taarifa kutoka vikao hivyo.
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment