Taarifa inasema kuwa Mbunge wa viti maalumu CUF aliyejulikana kama Clara Diana Mwatuka, amefariki kwa ajali baada ya gari take iliyokuwa ikiendeshwa na dereva aliyetajwa kuwa mwanae, kupinduka katika mteremko wa Malunde Plateau kuelekea Ndanda.
Habari zilizoufikia Mtandao huu zinasema kuwa mwili wa marehemu umeifadhiwa katika hospitali ya Ndanda Regional referral.
Mungu amuweke paala anapostail amin.
Na Mwanaharakati.
No comments:
Post a Comment